JIPATIE PESA ZA FASTA

Write your description and information for the first image here.

Place Your Title For Image Two Here

Write Your Description For Image Two Here.

Place Your Title For Image Three Here

Write Your Description For Image Three Here.

Place Your Title For Image Four Here

Write Your Description For Image Four Here.

Place Your Title For Image Five Here

Write Your Description For Image Five Here.

Wednesday, 9 December 2015

Mama Anna Matinde ni meneja mkuu wa Royal Honey Company Limited ya jijini Dar Es Salaam ikihusika na uzalishaji pia usambazaji wa asali pia vyakula na mafunzo ya ujasiliamali,juzi akihudumu nafasi ya mgeni rasmi amepata changia kiasi pesa na ushauri pia aliahidi kusimamia vijana hao ili kupata vitega uchumi endelevu..
Mama Anna Matinde ni mmoja wa waimbaji wa Remnant Generation toka Mwenge sda na mwalimu wa kwaya huduma ya wanawake kanisa la Mwenge sda akiimba sauti ya nne(Bass) akizindua DVD hiyo ndani ya kanisa la Ubungo Hill sda ..
Hatimaye mkutano wa vijana wa Baraton uliosubiriwa kwa mda mrefu sasa umeanza rasmi hapo jana ukishirikisha nchi za Afrika Mashariki na Kati zilizo katika Divisheni ya Mashariki na Kati na mgeni rasmi akiwa ni Mchungaji Baraka Muganda toka Washington Malekani..
Baadhi ya vijana wa 5 toka Tanzania wakiwa katika siku ya kwanza nchini Kenya katika chuo cha Baraton-Kenya,kutoka kulia ni Hollo Masanja,Peter Joseph,Anna,mwakilishi toka Tucasa Muhas David toka Tucasa Mabibo
Waimbaji wa Vega-Capella wakiimba katika uzinduzi wa kwaya ya Tucasa Mabibo hostel ndani ya kanisa la Ubungo sda.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
NI KATIKA MKUTANO WA INJILI ULIO ANZA TAREHE 06/12/2014 NA KUHITIMISHWA HII JANA KATIKA CHUO CHA KILIMO ILEMI KILICHOPO JIJINI MBEYA (ILEMI POLYTECHNIC COLLEGE) MKUTANO UMEENDESHWA NA CHAMA CHA TUCASA TAWI LA ILEMI CHINI IDARA YA CHAPLANSIA-SHC
NENO KUU: SIMAMA KATIKA NJIA KUU
MUHUBIRI MKUU NI: EV. GODFREY J. MACHOTA
KAYA NA FAMILIA : EV. OSWARD GIDEON

Washiriki wakifatilia kinachojiri..
Mnenaji mkuu wa mkutano Mwinjilisti Machota akisema jambo hapa..
Kwaya ya Iganzo SDA ikihudumu kwa njia ya nyimbo.



Mwinjilisti Osward Gideon akifafanua jambo katika kuhitimisha mahubiri haya..
Hawa ndio majushaa wakikubali kuambatana na Mwokozi Yesu kwa njia ubatizo wakiwa katika picha ya pamoja.

Mchungaji Samwel Baravuga akihudumu sehemu ya ubatizo
Mchungaji Samwel Baravuga akihudumu sehemu ya ubatizo
Mchungaji Samwel Baravuga akihudumu sehemu ya ubatizo
Mahali pa kufanyia ubatizo
 NI JUMAPILI HII  YA TAREHE 21....



Akizungumza na injilileo blog hapo jana katika viwanja vya kanisa la Waadventista Wasabato Magomeni ,mkuu wa kamati ya maandalizi na mipango kwa safari hii ya vijana na wanafunzi wa vyuo vikuu (TUCASA) kwa kanda ya Dar Es Saam Mr.Lazack amesema maandalizi ya wanatimu yako vizuri.
Katika mkutano huu,wanachama wa Tucasa kwa kanda hii ya Dar wapatao 52 wapo njiani kuelekea Kenya katika makutano haya ambayo yataanza hapo kesho ikiwa ni siku rasmi ya kuanza mkutano huu mkubwa wa vijana ambao hufanyika kila mwaka na mwaka jana ukifanyika katika chuo cha Waadventista Wasabato Bugema nchini Uganda na mwaka huu kufanyika katika chuo cha Waadventista Wasabato Baraton Kenya.
Kwa program zilizoandaliwa na vijana wa Tucasa ni kama vile;-kukariri mafungu ya lessoni ya mwka mzima(robo nne),huduma ya kitabibu toka kwa wanafunzi madaktari wakitokea vyuo vya Imtu,Kairuki na Muhimbili na program nyingine ikiwa ni pamoja kuhesabu muda au masaa ya binadamu kiutendaji kwa jumla ya miaka yake ya kuishi,yaani kama ski za binadamu kuishi ni 70 je kwa miaka hiyo atakuwa kaoga,kafua,amekula,ametembea au amelala kwa masaa mangapi? 
Kuelekea kwenye mkutano huu,wanachama toka kanda nyingine ni kama vile;Morogoro ni wanachama 9,Dodoma ni 23,Mbeya na Iringa 12 na Mtwara 1 nao wataambatana na vijana wengine toka Makanisa mbalimbali ya Waadventista Wasabato kwa Divisheni ya Mashariki mwa Afrika na Mgeni Rasmi akiwa ni Mchungaji Baraka Muganda toka chuo cha Waadventista Wasabato Washington Malekani..

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

Kulia ni Kayanda Josephat msoma risala na katibu wa kwaya ya Tucasa mabibo Hostel na akiwa na kushoto ni mwanakwaya mwenzake.
Kitendea kazi cha kiteknohama kwa kurusha matangazo(Ustream) toka kwa  Maduhu Emmanuel ambaye ni blogger na mtangazaji wa kituo cha Morning Star Redio
Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tucasa Mabibo Hostel
Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tucasa Mabibo Hostel

Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tucasa Mabibo Hostel
Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tucasa Mabibo Hostel
Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tucasa Mabibo Hostel
Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tucasa Mabibo Hostel
Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tucasa Mabibo Hostel
Baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Tucasa Mabibo Hostel