NI KATIKA MKUTANO WA INJILI ULIO ANZA TAREHE 06/12/2014 NA
KUHITIMISHWA HII JANA KATIKA CHUO CHA KILIMO ILEMI KILICHOPO JIJINI MBEYA
(ILEMI POLYTECHNIC COLLEGE) MKUTANO UMEENDESHWA NA CHAMA CHA TUCASA
TAWI LA ILEMI CHINI IDARA YA CHAPLANSIA-SHC
NENO KUU: SIMAMA KATIKA NJIA KUU
MUHUBIRI MKUU NI: EV. GODFREY J. MACHOTA
KAYA NA FAMILIA : EV. OSWARD GIDEON
NENO KUU: SIMAMA KATIKA NJIA KUU
MUHUBIRI MKUU NI: EV. GODFREY J. MACHOTA
KAYA NA FAMILIA : EV. OSWARD GIDEON
![]() |
Washiriki wakifatilia kinachojiri.. |
![]() |
Mnenaji mkuu wa mkutano Mwinjilisti Machota akisema jambo hapa.. |
![]() |
Kwaya ya Iganzo SDA ikihudumu kwa njia ya nyimbo. |
![]() |
Mwinjilisti Osward Gideon akifafanua jambo katika kuhitimisha mahubiri haya.. |
![]() |
Hawa ndio majushaa wakikubali kuambatana na Mwokozi Yesu kwa njia ubatizo wakiwa katika picha ya pamoja. |
![]() |
Mchungaji Samwel Baravuga akihudumu sehemu ya ubatizo |
![]() |
Mchungaji Samwel Baravuga akihudumu sehemu ya ubatizo |
![]() |
Mchungaji Samwel Baravuga akihudumu sehemu ya ubatizo |
![]() |
Mahali pa kufanyia ubatizo |
0 comments:
Post a Comment